Auawa baada ya kukataa kulipa pesa ya mayai
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Juma Chimbende (34), mkazi wa mtaa wa Majengo Manispaa ya Mtwara Mikindani anadaiwa kuuawa na Himid Mikidadi (23) mkazi wa Kisutu B, baada ya mtuhumiwa kushindwa kulipa pesa ambayo alikula mayai na kushindwa kulipa pesa.