NECTA wahimiza weledi katika usimamizi wa mitihani
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani NECTA Athumani Amasi ametangaza kuanza kwa mitihani kujipima ya darasa la nne na kidato cha pili huku wasimamizi wakitakiwa kufanya kazi zao kwa weledi pamoja na kuwazingitia zaidi watahiniwa wenye mahitaji maalum.