Waziri aagiza mabasi haya yakamatwe

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi na Baraza la Taifa na usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vidhibiti mwendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS