Waziri aagiza mabasi haya yakamatwe Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi na Baraza la Taifa na usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vidhibiti mwendo. Read more about Waziri aagiza mabasi haya yakamatwe