Tanzania na DR Congo kujenga Reli ya kisasa

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan(kulia) akiwa na Rais wa DR Congo Felix Tshishekedi (kushoto)

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Pamoja na Rais wa DR Congo Felix Tshishekedi kwa pamoja wameazimia kuondoshwa kwa vikwazo vilivyopo ili kukuza biashara na uwekezaji  hususani katika kuboresha miundombinu ya reli na ujenzi wa bandari wakijadili pia uwekezaji katika mawasiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS