Makamanda wa Polisi wahamasisha utalii

Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vikosi wakiwa hifadhi ya taifa ya Mikumi

Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vikosi wamewaonya baadhi ya
watu wanaofanya vitendo vya ujagili na kuharibu baadhi ya vivutio mbalimbali vya
taifa ambavyo ni urithi wa vizazi vijavyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS