Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vikosi wakiwa hifadhi ya taifa ya Mikumi
Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vikosi wamewaonya baadhi ya
watu wanaofanya vitendo vya ujagili na kuharibu baadhi ya vivutio mbalimbali vya
taifa ambavyo ni urithi wa vizazi vijavyo.