Wabunge wa viti maalum wanaopinga kufukuzwa uanachama wao na CHADEMA
Aliyekuwa Makamu mwenyekiri wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) Hawa Mwaifunga, ameshindwa kutoa ushahidi wake mahakamani baada ya kuieleza Mahakama kupitia kwa wakili wake kuwa anaumwa.