Rishi Sunak atarajiwa kuwa Waziri Mkuu Uingereza

Mgombea wa kiti cha Waziri Mkuu Uingereza Rishi Sunak

Nchini Uingereza aliyewahi kuwa waziri wa fedha Rishi Sunak anatajwa kujiandaa kuwa Waziri Mkuu mpya nchini humo baada ya Borris Johnson kujiondoa katika kinyang'anyiro cha nafasi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS