Ukame wazidi kuitesa Somalia

Mashirika ya misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa yamesema mahitaji yanayoongezeka kwa kasi nchini Somalia kutokana na ukame mkali, yamelazimisha kuongezeka kwa misaada kuliko ilivyopangwa katika lengo la mwezi Januari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS