"Simba tukifungwa na Yanga Siimbi tena" - Tundaman

Msanii Tundaman akizungumza na EATV & EA Radio Digital

Msanii wa BongoFleva na shabiki wa Klabu ya Simba Tundaman amesema timu yake hiyo ikifungwa tena na Yanga ataacha kuimba nyimbo za kuisifia Simba kama anavyofanya kila mwanzo wa msimu mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS