Baba akiri kumchoma mwanaye mikono, ahukumiwa

Mpipi Emmanuel (33), mkazi wa kijiji cha Shahende kata ya Butobela, mkoani Geita amehukumiwa kifungo cha miaka mitano Jela kwa kosa la kumchoma mikono mwanaye Helena Mashaka siku moja kabla ya kuanza mitihani ya Taifa ya darasa la saba na kupelekea mtoto huyo kushindwa kufanya mitihani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS