Waziri Mkuu atoa siku 15 ukamilishwaji barabara
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku 15 kuanzia leo Oktoba 20, 2022 kwa kampuni ya Inter Country Contractors kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa miradi ya barabara katika kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza