Wananchi wahimizwa kushiriki kwenye utali Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja amewataka watanzania kuacha kuamini kuwa utalii ni kwa ajili ya wageni pekee, na kuwahimiza kushiriki katika shughuli za utalii ili kuongeza pato la taifa. Read more about Wananchi wahimizwa kushiriki kwenye utali