Dkt. Tulia azungumzia 50% ya wabunge bungeni 

Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson

Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson, amesema licha ya kutofikia asilimia 50 ya idadi ya wabunge wanawake bungeni lakini zipo jitihada ambazo serikali imekuwa ikizichukua kuhakikisha mwanamke anapiga hatua kubwa kwenye nafasi za uongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS