RC Homera atoa tahadhari fedha za lishe Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka viongozi wa Halmashauri zote za mkoa huo kumpatia taarifa za watumishi watakaotumia fedha za lishe kinyume na maelekezo ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria Read more about RC Homera atoa tahadhari fedha za lishe