Imani potofu kikwazo chanjo ya UVIKO - 19
Mila Potofu miongoni mwa jamii mkoani Arusha juu ya Chanjo ya UVIKO -19 ikiwemo kuhusisha Chanjo hiyo na Imani za zisizofaa imetajwa kama kikwazo kwa baadhi ya watu kushinndwa kupata chanjo hiyo Hali inayokwamisha zoezi hilo.