Polisi wawataka wananchi kutoa ushirikiano

Mkuu wa Dawati la jinsia na watoto wilaya ya Geita Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Christina Katana

Jeshi la Polisi Wilaya ya Geita limelalamikia juu ya wananchi wanaotakiwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi na Mahakamani juu ya kesi za Ukatili kushindwa kutoa ushahidi hivyo kesi nyingi zimekuwa zikimalizwa nyumbani na kupelekea watuhumiwa wa vitendo hivyo  kushindwa kupata adhabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS