Wazee waomba msaada
Wazee na walemavu wanaoishi katika nyumba maalumu kwaajili ya kutunzwa katika eneo la Lasibula Mkoani Lindi, wamewaomba wadau mbalimbali wawasaidie kurekebisha nyumba yao ambayo kwasasa ni chakavu huku wakiwasihi kuwakumbuka mara kadhaa pale wapatapo nafasi