Australia kutoitambua Jerusalem kama mji mkuu Mji wa Jerusalem Magharibi Wapalestina wameupongeza uamuzi uliochukuliwa na Australia leo wa kubatilisha hatua ya kuutambua mji wa Jerusalem Magharibi kama mji mkuu wa Israel, licha ya kukosolewa sana na Israel. Read more about Australia kutoitambua Jerusalem kama mji mkuu