Rais Samia atoa msaada kwa watoto Geita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametoa msaada  kwa ajili ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu mkoani Geita kwa lengo la kuwapunguzia majukumu watu wanaovisimamia vituo hivyo mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS