Kesi ya Lissu mpaka Julai 15

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Julai 1/2025, imeahirisha tenaKesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu mpaka Julai 15/2025, kwa ajili ya kutolea maamuzi kama itapelekwa Mahakama Kuu au shauri hilo litafutwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS