Wananchi 3,588 kunufaika na maji Kalambo

Tenki la maji wilayani Kalambo

Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingia Vijijini (RUWASA) mkoa wa Rukwa, imefanikisha upatikanaji wa majisafi na salama karibu na na wananchi kufuatia kukamilika kwa mradi wa maji wa Kijiji cha Kalaela wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa utakaohudumia wakazi 3,588.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS