Njombe yamaliza kuhesabu watu
Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka, ametangaza mkoa wake kukamilisha zoezi la kuhesabu watu katika dodoso kuu na maeneo yote na kinachoendelea sasa ni zoezi la kuhesabu makazi kwenye Sensa ya Watu na Makazi kwa mwaka huu.