Shaka ataka wasomi wasio na ajira watambuliwe

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka,

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka, ametoa mwelekeo wa kutatua changamoto ya ajira kwa vijana nchini hasa wasomi wa vyuo vikuu huku akitaka wasomi hao watambuliwe na kisha wawezeshwe na hatimaye kujiajiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS