Nape aitaka TCRA kutoa tuzo ya maudhui

Mhe. Nape Nnauye, Waziri wa habari, mawasiliano na teknolojia ya habari

Waziri wa habari Nape Nnauye ameitaka Mamlaka ya mawasiliano kuona namna ya kuandaa tuzo maalum Kwa watu watakaoweza kuzalisha maudhui bora ya ndani na kuipa thamani pamoja na kuweka utaratibu na kanuni zitakazowatambua wazalishaji binafsi Ili watakaofanya vizuri maudhui yao yatumike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS