Wataalam wa Afya watakiwa kutoa dawa kwa utaratibu

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ametoa maelekezo kwa wataalam wa dawa wakiwemo wafamasia kuzingatia miongozo ya utoaji wa dawa na kuhakikisha mwandiko unasomeka kwakuwa kutokufanya hivyo kunahatarisha afya za wagonjwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS