Stars wanyimwa ruksa kufanya mazoezi kwa mkapa

Kikosi cha timu ya Taifa.

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ''Taifa Stars'' Kim Poulsen amefedheshwa na kitendo cha wasimamizi wa Uwanja wa Mkapa kuinyima ruhusa timu hiyo ya Taifa kupata nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS