Kamati ya Bunge yapongeza makazi ya Msomera

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Ally Makoa

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na namna serikali ilivyowajali wananchi waliohamia Kijiji cha Msomera kwa hiari yao wenyewe ili kupisha shughuli za uhifadhi katika eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS