Mapendekezo ya sheria mpya ya usimamizi wa maafa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene

Serikali imeandaa mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya usimamizi wa maafa ili kuweka mfumo wa udhibiti na uratibu wa maafa kwa ajili ya hatua za kuzuia na kupunguza madhara ya majanga, kujiandaa kukabili na kurejesha hali pindi maafa yanapotokea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS