Mdee na wenzake kufungua kesi ndani ya siku 14 Halima Mdee akiwa na wabunge wenzake Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewaruhusu waliokuwa wanachama wa CHADEMA Halima Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama. Read more about Mdee na wenzake kufungua kesi ndani ya siku 14