Vishoka wa Passport Tanzania waonywa

Msemaji wa Idara ya Uhamiaji, Paul Msele

Idara ya Uhamiaji nchini imeeleza kuibuka kwa watu maarufu kama vishoka ambao wamekuwa wakichukua fedha za wananchi kwa madai ya kwamba watawapatia passport kwa uharaka na kuonya idara hiyo haina uwakala mbadala na suala hilo linachafua taswira nzima ya mamlaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS