Vishoka wa Passport Tanzania waonywa
Idara ya Uhamiaji nchini imeeleza kuibuka kwa watu maarufu kama vishoka ambao wamekuwa wakichukua fedha za wananchi kwa madai ya kwamba watawapatia passport kwa uharaka na kuonya idara hiyo haina uwakala mbadala na suala hilo linachafua taswira nzima ya mamlaka.