Linex afunguka kuhusu kuokoka "Namtukuza Mungu"
Msanii Linex Sunday Mjeda amenyoosha maelezo kuhusu kuokoka baada ya kuachia EP yake ya Side B yenye mahadhi ya mziki wa Injili kwa kusema anamtukuza mungu na hawezi kuweka wazi kama ameokoka au hajaokoka.