Mbeya City watia doa sherehe za Ubingwa Yanga

Kombe walilokabidhiwa Yanga leo kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara

Klabu ya Mbeya City imetia doa sherehe za ubingwa za Yanga leo jioni baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa leo jioni Jijini Mbeya uwanja wa Sokoine. Yanga wamekabidhiwa kombe la ubingwa wa NBC Premier League msimu huu 2021-22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS