"Kidato cha 6 wote wamefanya vizuri" - NECTA 

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Athumani Amasi

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Athumani Amasi, amesema kwamba katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita yaliyotolewa hii leo hakuna mtahiniwa aliyefanya vibaya kwani watahiniwa wote wamefaulu kwa asilimia 99.87.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS