Bidhaa za misitu lazima zipigwe chapa - Waziri

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana, amewataka watengenezaji wote wa bidhaa za misitu nchini wahakikishe kuwa wanaweka alama inayoonesha bidhaa zao  zimetengenezwa Tanzania yaani "Made in Tanzania" ili bidhaa hizo zijulikane kuwa zimetengenezwa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS