"Kuhusu Loliondo taarifa ni ya Waziri Mkuu - Tulia

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, amesema kwamba taarifa iliyonayo Bunge kuhusu Loliondo na Ngorongoro ni ile ya serikali iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, na kwamba Bunge haliwezi kutumika kujibu maneno ya mitandaoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS