Mchina wa miaka 42 anatafutwa kwa mauaji

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtafuta mtuhumiwa Zheng Lingyao (42), raia wa China na mkazi wa jiji hilo kwa tuhuma za kumuua Fu Nannan (26) raia wa China mfanyabiashara na mkazi wa Kalenga Ilala, uchunguzi umebaini kulikuwa na tatizo la masuala ya mapenzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS