Wahamiaji haramu 2,935 wakamatwa Kagera

Kamishna Msaidizi Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Thomas Fussy

Jumla ya wahamiaji haramu 2,935 wamekamatwa na idara ya uhamiaji katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera, katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu, baada ya kubainika kuingia nchini bila vibali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS