Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa BoT Bw. Emmanuel Boaz (kulia) akionyesha sarafu mpya ya shilingi mia tano ambayo itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013