Wanamichezo vijana wa Tanzania chini ya miaka 15 wakiwa katika michuano ya vijana ya Africa huko Botswana.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013