Chegge
Maeneo machafu na yenye maji yaliyotuama kama haya ni kivutio pamoja na mazalia mazuri ya mbu wanaoeneza homa ya Dengue.
Mbu ni mmoja wa wadudu wanaosambaza ugonjwa hatari wa homa ya Dengu
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.