Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.
Elizabeth Hoad akifunga ndoa na Mbwa.
Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania [taifa stars]