Mkurugenzi mkuu wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia, Dkt Hassan Mshinda (kushoto), akiwa na afisa habari wa tume hiyo Theophil Pima (katikati) wakiwa katika mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013