Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.