Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.
Jerry William Silaa, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwenye maadhimisho miaka 30 ya CRDB
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga