Wananchi wa kata za Narakawo na Lobosiret zilizopo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara wakiwa mkutanoni.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.