Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Mizengo Pinda akiwakabidhi makombe washindi wa mchezo wa mapigano.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.