Aliekua Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally aliesimama akiongea katika moja Mikutano yake na Wananchi (Kushoto) ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam