Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Nape Nnauye akimkabidhi cheti bondia Francis Cheka.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.