Mkurugenzi wa kampuni ya Swala Oil and Gas, Abdullah Mwinyi (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Bi. Shyrose Bhanji.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.