Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt Seif Rashid. Wizara yake imeombwa kuangalia uwezekano wa kuruhusu dawa asilia zitumike katika hospitali na zahanati za umma.
Aliewahu kuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi,na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Marehemu Bi. Asha Bakari Makame