Mkuu wa Kitengo cha fedha cha Exim Bank Bw. Selemani Ponda (kushoto) akifafanua jambo katika mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam. Kulia kushoto kwake ni Naibu Mkuu wa Fedha Bw. Issa Hamisi.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.